Dodoma. Katika kukamilisha azma ya Serikali ya Dodoma ya kijani, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa maagizo ya ukamilishwaji wa zoezi la upandaji miti katika Mji wa Serikali Mtumba ili kuufanya mji huo kuwa na hadhi ya makao makuu ya…
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana (pichani juu) akizungumza na vyombo vya Habari mara baada ya kumaliza kuzunguka na kujionea huduma zinazotolewa na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania – TFS katika Maonesho ya 46 ya…